Main Logo
  • Lugha
  • Ingia katika akaunti/Jiunge
  • Unganisha
  • Kujifunza
  • Gundua

Teua Lugha Unayopenda

  • English
  • Kiswahili
  • Mwanzo
  • Gundua
  • Kujifunza
  • Unganisha
  • Lugha
  • Ingia katika akaunti/Jiunge
Kiroho  >  Hadithi za Biblia
Zote▾
  • Zote
  • New Survival & early Childhood Curriculum.
  • Ulinzi wa Mtoto
  • Tambulizi
    • Zote
  • Kimwili
    • Zote
  • Mihemko ya Kijamii
    • Zote
  • Kiroho
    • Zote
    • Hadithi za Biblia
  • Mtoto Filosofia
  • Kanisa Filosofia
Search
0 star average - 0 Kura
Share on Twitter Share on Facebook Share on Pinterest Share by Email

Mfarisayo na mkusanya kodi

2023
Tazama

Mfarisayo na mkusanya kodi

Pakua

Uhajitaji Kuingia

Lazima uwe mmoja wa jamii ya ForChildren.com ili upakue rasilimali. Bofya vitufe vilivyo hapa chini ili uingie au ujisajili!

Choose Video Size

loading
Video • Kiswahili • MB 56.7
Kategoria Kiroho > Hadithi za Biblia
Copyright Owner max7.org

Kulingana na Luka 18:9-14, video hii hai inasimulia fumbo la Mfarisayo na mkusanya kodi. Hadithi hii inafundisha kuhusu msimamo wa maombi yetu kwa Mungu: tukitangaza ukamilifu wetu kwake, Mungu hatatukubali sisi au maombi yetu. Hata hivyo, tukiungama mahitaji yetu ya neema na huruma ya Mungu, na atatupatia. Rasilimali ya video hii, ambayo haina sauti na inatumika kwa lugha zote, ina urefu wa dakika 2 na sekunde 16. Inafaa kwa watoto, vijana na familia za lugha zote.

Majadiliano


Pakia maoni yote ya 0, au ongeza yako.

Tuko kwa ajili ya watoto.

ForChildren.com, inayotolewa na Compassion International, hutoa mawazo, fursa za kujifunza na uhusiano kuwasaidia watu wanaofanya kazi na watoto walio katika mazingira hatarishi. Sisi ni jamii ya  wafuasi wa Yesu duniani kote iliyojitolea kwa ajili ya ukuaji wa watoto kiujumla. Tunakualika ujiunge nasi katika jamii hii yenye ushirikiano ili kushirikisha mawazo, uzoefu, mbinu na zana zinazowasaidia watoto kuimarika hata wakiwa katika changamoto.

ForChildren.com inatolewa na Compassion International, shirika lisilo la faidia lililosajiliwa 501(c)3. Nyenzo, kozi, na majadiliano yote yanakusudiwa kwa matumizi ya elimu peke yake, na sio kwa faida.

  • Kutuhusu​
  • Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • Masharti
  • Faragha