Main Logo
  • Ingia katika akaunti/Jiunge
    • Lugha
  • Unganisha
  • Kujifunza
  • Gundua

Teua Lugha Unayopenda

  • English
  • Kiswahili
  • Mwanzo
  • Gundua
  • Kujifunza
  • Unganisha
  • Lugha
  • Ingia katika akaunti/Jiunge
Zote▾
  • Zote
  • New Survival & early Childhood Curriculum.
  • Ulinzi wa Mtoto
  • Tambulizi
    • Zote
  • Kimwili
    • Zote
  • Mihemko ya Kijamii
    • Zote
  • Kiroho
    • Zote
    • Hadithi za Biblia
  • Mtoto Filosofia
  • Kanisa Filosofia
Search
Kategoria
  • Zote
  • New Survival & early Childhood Curriculum.
  • Ulinzi wa Mtoto
  • Tambulizi
    • Zote
  • Kimwili
    • Zote
  • Mihemko ya Kijamii
    • Zote
  • Kiroho
    • Zote
    • Hadithi za Biblia
  • Mtoto Filosofia
  • Kanisa Filosofia

Dirisha la Utangulizi wa 4/14

Tazama

Dirisha la Utangulizi wa 4/14

Pakua

Uhajitaji Kuingia

Lazima uwe mmoja wa jamii ya ForChildren.com ili upakue rasilimali. Bofya vitufe vilivyo hapa chini ili uingie au ujisajili!

Choose Video Size

loading
Video • Kiswahili • MB 64.7
Kategoria Mtoto Filosofia
Copyright Owner and Year Explain Ed, 2023

Dirisha la 4/14 linamaanisha kundi la kidemografia kuanzia umri wa miaka minne hadi miaka kumi na minne, ambalo liko wazi na ndio hupokea mambo ya kiroho na ukuaji haraka. Mungu anatuita tubadilishe tunavyowatazama watoto na kujibu umuhimu wao wa kimkakati na mahali pao pa haki katika Ufalme Wake. Wakati watu duniani wanaona watoto kama wenye ujinga na wachanga, tunaamini kwamba wana maana kwa Mungu na wanaweza kuwa maajenti wa mabadiliko katika Ufalme wa Mbinguni. Kanisa linafaa kulenga kufikia, kuwaokoa, kuwasaidia na kuwawezeisha watoto na vijana kutimiza uwezo wao kamili wa kubadilisha familia, jamii na taifa lao. Video hii ina sauti ya Kiswahili ina urefu wa dakika 2 na sekunde 58 na inafaa kwa watoto wa umri wote.

Majadiliano


Pakia maoni yote ya 0, au ongeza yako.
  • About
  • Privacy Policy
  • Contact Us
  • Terms of Use

ForChildren.com inatolewa na Compassion International, shirika lisilo la faidia lililosajiliwa 501(c)3. Nyenzo, kozi, na majadiliano yote yanakusudiwa kwa matumizi ya elimu peke yake, na sio kwa faida.